Friday, January 17, 2014

SIMURUDII BOB JUNIOR NG'OOO HALIMA


Aliyekuwa mke wa mwanamuziki Bob Junior  Bi. Halima au Ritha (mbele) amesema kuwa hata Issa Bin Mariamu arudi Duniani hawezi kuthubutu kumrudia  msanii huyo na kwamba kinanchomsumbua Bob Junior ni kukosa elimu ya kutosha.
"Siwezi kusema najuta kuolewa naye  kwa sababu haya ni mapito tu. Ila nimemfuta akilinimwangu na daima simfikirii kabisa" alisema Halima. Wawili hao waliachana mwishoni mwa mwaka jana baada ya  Halima kudaiwa kufuma chupi za wanawake zilizovaliwa katika begi la mumewe huyo.Bob Junior alikanusha kuwa chupi hizo hazikuwa za wanawake ila za msanii   mwemzake Bonge la Nyau 

No comments:

Post a Comment