Friday, January 17, 2014

PAPAAA JACKOB THE BEST DOLLALI ZINAPOTEKETEZWA



Anaitwa Papaa Jackob The Best. Nimdogo wa mdau maarufu wa mastaa Bongo Mama Loraa Masai na kati ya Mbezi Beach. Ukimtazama hapo juu  alipanga kuliteketeza burungutu la dola halali za kimarekani kwa sikumoja. Jamaa ni noumaaa! Anaishi nchini Africa Kusini. Lakini pia katika nchi za Botswana, Swazland, Zambia, Msumbiji na Lesotho pamoja na nchi nyingi sana Duniani. Kwanini asifanye kufuru. Ukimsalimia tu  mambo unapigwa na buku kumi.

No comments:

Post a Comment