Pati ilihudhuriwa na watu kibao wakiwemo mastaa.Ilikuwa ni baab kubwa mno kiasi kwamba kila aliyeichungulia hakuacha kuifagilia.Makuku, makulaji na vinywaji vya kumwagaa.Watu walijichana ile mbaya.
Christa kwa sasa ni mjamzito.Jamani tumuombee ajifungue salama
No comments:
Post a Comment