Sunday, January 5, 2014

SHOGA HUYU AMEOKOKA.

Wadau amini usiamini. Huyu jamaa anayekata mauno alikuwa akiitwa Anti Asu. Alikuwa ni shoga maarufu sana hapa Bongo.Hivi karibuni  alitangaza kuokoka.kuachana na ufurauni  huo na kumrudia Mungu wake. Yuko karibuni kuoa. Hivi ninavyotuma hii picha  yuko mkoani Iringa kujitambulisha kwa wakwe zake.Jamaa anasema yuporijari na lazima azalishe. Siku hizi anajiita  Amosi. Siyo Anti Asu tena.

No comments:

Post a Comment