Staa wa Bongo Muvie Lulu Maichael amezidi kuliza watu baada ya kupachika picha akiwa na Kanumba alipokuwav mdogo sana. Huwezi amini ukiitazama picha hiyo kwamba hawa wawili walifikia hatua ya kuwa wapenzi wa kufa na kuzikana. Kalulu kadooogoo lakini baadaye kakawa kakuuubwa. Kanumba bonge la jibaba halafu baadaye hoi kwa penzi a Lulu. MAPENZI WE ACHA TU.Hata hivyo Lulu amesema kuwa atamlilia staa huyo hadi naye kifo kitakapomrudia.
No comments:
Post a Comment