Tuesday, July 3, 2012









BALAA LA KAMPUNI YA TIGO COCO BEACH

Kampuni ya simu za mikononi ya TIGO wikiend iliyopita ilifanya bonge la tamasha katika ufukwe wa Coco Beach jijini Dar es Salaam.Tamasha hilo lilienda sambamba na kutangaza huduma mpya kibao kama vile Internet, matumizi ya face book sms na nyingine kibao kutoka Tigo ambazo ziliwabamba vilivyo wananchi.





Juma Nature na kundi zima la TMK Wanaume Halisi akidatisha mtiti wa wateja wa TIGO







Watu waligoma kuondoka







No comments:

Post a Comment