Akionge na blog hii Ney alisema wakati umefika sasa kila msichana awe mbunifu wa kutafutaa hela kwa kufanya kazi mbalimbali zikiwemo biashara, na hali hiyo italeta heshima kubwa kwa mwanamke wa kitanzania" Na hata kipindi hiki hakuna mwanaume anaetaka mwanamke mzigo wanaume wote wanataka mwanamke mchakalikaji na sio kutegemea kuletewa" Alisema mrembo huyo ambae ni mtoto wa Kigogo.
No comments:
Post a Comment