BOB JUNIOR
Mwanamuziki na Prodyuza nyota kutoka studio za Sharo Baro Record Magomeni jijini Dar Bob Junior 'Rais wa Masharobaro' akiwa kiwanja na demu ambaye hakufahamika mara moja.Bob Junior kwa sasa ameajiri meneja wake aitwaye Bazzo ambaye ni mtangazaji wa kituo cha runinga cha TBC 1.
No comments:
Post a Comment